1 Chronicles 17:1

Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

(2 Samweli 7:1-17)

1 aBaada ya Daudi kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati Sanduku la Agano la Bwana liko ndani ya hema.”

Copyright information for SwhKC